BAADA ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, kushindwa kupata matokeo ya ushindi kwenye mechi tatu zilizopita, beki kisiki wa kushoto wa timu hiyo, Bruce Kangwa, amewahakikishia mashabiki kuwa wataanza na matokeo ya ushindi kuanzia...
First Team
Latest News
WAKATI nahodha wa Azam FC, Himid Mao ‘Ninja’, akitarajia kukaa nje ya dimba kwa wiki tatu zaidi, habari njema ni kuwa mshambuliaji Wazir Junior, ataanza rasmi mazoezi Jumatatu ijayo.
Wawili hao wanasumbuliwa na majeraha tofauti, Himid...
KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Aristica Cioaba, ameweka wazi kuwa timu hiyo haitakiwi kufanya makosa yoyote kuelekea mchezo wa hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) dhidi ya KMC...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imetoka suluhu dhidi ya Lipuli katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja wa Samora, Iringa jioni ya leo.
Kwa matokeo hayo Azam FC inaendelea kusalia...